Kocha mpya wa Yanga, Mbelgiji Thom Saintfiet amewashawasili nchini Tanzania kwa ajili ya kuanza kibarua cha kuinoa timu hiyo. zifuatatazo ni picha mbalimbali wakati wa mapokezi yake alipotua Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam na kulakiwa na mamia ya wapenzi wa klabu hiyo.Mapokezi yake ni tangu anatokea ndani ya Uwanja wa Ndege, hadi akiwa ndani ya gari tayari kwa safari ya Jangwani.
Akiwa na viongozi wa Yanga
Akiziungumza na waandishi wa Habari
Akionyesha kuwa na uso wa furaha
Akipanda gari
Akiwa katika gari na kiongozi wa Yanga
Mashabiki wa Yanga wakishangilia ujio wa kocha huyo
Home »
» MAPOKEZI YA MBELGIJI WA YANGA
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !