Home »
» JULIANA PIERRE AHITAJI WADAU KWENYE FACEBOOK YAKE
JULIANA PIERRE AHITAJI WADAU KWENYE FACEBOOK YAKE
Written By Bashir Nkoromo on Wednesday, August 22, 2012 | 3:03 AM
Mrembo Juliana Pierre (Pichani) anahitaji ambaye ameingia fainali za Miss East Africa Belgium 2012, anahitaji kupata watu wengi zaidi kwenye ukurasa wake wa Facebook kuliko washiriki wenzake katika fainali hizo. Ili uweze kuwa mmoja wa watakaoongeza idadi hiyo BOFYA HAPA kwenye ukurasa kisha bofya "like" kwenye link hiyo".
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !