Klabu ya Yanga jioni hii inajitupakwenye uwanja waTaifa jijini Dar esSalaam, kumenyana na JKT Ruvu, ikiwa ni amechi yake ya tatu tangu kuanza kwa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Habari zinasema, Yanga inatarajiwa kutinga dimbani huku Kocha wake Mkuu Tom Saintfiet akiwa hayupo kufuatia habari kwamba Mwenyekiti wa Klabu hiyoYussuf Manji amemtimua.
Kwamujibu wa habari hizo, kocha huyo aliyeletwa na Yanga kwa mbwembwe kibao, ametyimuliwana Manji kufuatia Yanga kuanza Ligi kuu vibaya hasa kufuatia kichapo ilichopigwa na Mtibwa Sugar mjini Morogoro majuzi.
Mbali ya Kocha huyo, jana aliyekuwa Ofdisa habari wa Yanga na Katobui Mkuu wa timu hiyo nao wamefungashiwa virango kwa sababu zinazoelezwakutoisaidia klabu.
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !