Mfululizo wa 147 Critics ambayo ni mahojiano ya wadau wa Filamu na Muziki yaliyofanywa na TFCA- Tanzania Film Critics Association(On line Platform) kuhusiana na marekebisho hayo ambayo yatafanya kuanzia mwezi wa January 2013 bidhaa zote za Filamu na Muziki zilizopo hapa Tanzania kuwekewa Stamp/Sticker kwa ajili ya kurasimisha, Kumpatia kipato halali msanii na Kukusanya mapato ya serikali yanayotokana na uuzaji wa kazi husika.
Sheria hii ina changamoto nyingi ambazo kama hazitatatuliwa zinaweza kuifanya sheria husiaka isfikie malengo yake,Je wadau wanasemaje kuhusiana na hilo? MMMMBOFYA HAPA
Home »
» MFULULIZO WA MAHOJIANO YA WADAU WA FILAM NA MUZIKI YALIYOFANYWA NA TFCA KUHUSU MAREKEBISHO YA SHERIA YA USHURU WA BIDHAA SURA YA 147
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !