Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza mwanamuziki wa siku nyingi, Waziri Ally, kundi la wasanii, wakiwemo wanamuziki walipofika Ikulu Dar es Salaam, kumshukuru kwa kuwajali kufuatia kutoa tuzo kwa wasanii na wanamuziki wakongwe kama Bi Kidude. Wapili kushoto ni Mwafa FA
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wasanii waliofika Ikulu jijini Dar es salaam, leo kumpongeza na kumshukuru kwa kuonyesha kuwajali wasanii.
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na mwanamuziki mkongwe King Kikii baada ya wasanii hao kupiga naye picha ya pamoja
Home »
» WASANII WAMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA KUWAJALI
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !