Headlines News :
Home » » MPAMBANO WA YANGA NA BLACK LEOPARDS

MPAMBANO WA YANGA NA BLACK LEOPARDS

Written By Bashir Nkoromo on Saturday, January 19, 2013 | 7:52 AM


*YANGA INAONGOZA BAO 1-0 MPIRA NI KIPINDI CHA PILI

 Kikosi cha Yanga. Timu ya Yanga inaongoza kwa bao 1-0 bao lililofungwa na Jerry Tegete, kwa mkwaju wa penati, baada ya mchezi wa Yanga, Haruna Niyonzima, kuangushwa katika eneo la hatari, wakati akiwatoka mabeki wa Black Leopards.
 Kikosi cha Black Leopards.
 Mchezaji wa Yanga, Kabange Twite (kushoto) akimiliki mpira huku akidhibitiwa na beki wa Black Leopards, Nkosiabo Xakane, wakati wa mchezo huo.
Mashabiki wa Yanga, wakishangilia bao lililofungwa na Jerry Tegete. AKSANTE SUFIANI MAFOTO BLOG
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template