Headlines News :
Home » » SIMBA YACHEZEA KICHAPO 1-0 KWA MTIBWA SUGAR

SIMBA YACHEZEA KICHAPO 1-0 KWA MTIBWA SUGAR

Written By Bashir Nkoromo on Sunday, February 24, 2013 | 11:43 AM



 Kikosi cha Simba kilichoanza katika mchezo wa leo.
 Kikosi cha Mtibwa Sugar.
 Mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba akichuana na kiungo wa Mtibwa Sugar, Shaban Nditi.
Wachezaji wa akiba wa Simba wakiwa awaamini macho yao wakati jahazoi la timu hiyo likiwa linazama
Golikipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngasa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Mtibwa imeshinda bao 1-0. 

 Waamuzi wa mchezo wa leo wakitoka uwanjani
Kocha wa Simba, Patrick Liewig akitoka uwanjani baada ya mchezo.Kwa hisani ya Habari Mseto Blog
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template