Headlines News :
Home » » ZAIDI YA POLISI 300 KUMWAGWA UWANJA WA TAIFA KATIKA MECHI YA SIMBA NA YANGA

ZAIDI YA POLISI 300 KUMWAGWA UWANJA WA TAIFA KATIKA MECHI YA SIMBA NA YANGA

Written By Bashir Nkoromo on Thursday, May 16, 2013 | 9:58 AM

Akizungumza jioni hii katika kipindi cha Spoti Leo cha Radio One, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Afande Kova amesema, mongoni mwa polisi hao watakuwa makachero  watakaokuwa wanafuatilia nyendo za watu watakaojaribu kuvuruga usalama au mwenendo wote wa mpambanao huo utakaopigwa Jumamosi hii.

Yanya na Simba zinakutana Jumamosi zikiwa zimekamiana sana lakini kila timu na sababu zake. Wakati Yanga ambayo tayari imeshatwaa ubingwa ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, bila shaka itajitahidi kuhakikisha inaifunga simba ili kuonogesha ubingwa wake.

Wakati Yanga ikiwa katika mazinmgira hayo, Simba nayo lazima iifunge Yanga ili kuweka heshima japo ilimekwishavuliwa ubingwa.


Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template