Home »
» DAR LIVE ILIVYOCHANGAMKA SIKUKUU YA EID EL FITR
DAR LIVE ILIVYOCHANGAMKA SIKUKUU YA EID EL FITR
Written By CCM Blog on Sunday, August 11, 2013 | 7:56 AM
Aziza Kimsi wa TOT Taarab akiimba.
Wanamuziki wa TOT wakiimba. Kiongozi wa Extra Bongo, Ally Choki, akiimba wimbo wa Mtenda Akitendewa.
Wanamuziki wa Extra Bongo wakiwa kazini.
Ally Choki na mnenguaji wake wakionyesha ‘machejo’.
Wanenguaji wa Extra Bongo wakijinafasi.
Naibu Mkurugenzi wa TOT, Gasper Tumaini akionyesha 'matindo' ukumbini.
MASHABIKI wa muziki jana walipata burudani ya kukata na shoka katika sikukuu ya Idd Pili kwenye Ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala-Zakhem jijini Dar es Salaam ambapo walichenguliwa vilivyo na bendi za Extra Bongo na TOT.
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !