Headlines News :
Home » » YANGA YAZIDI KUIKAMIA SIMBA JUMAMOSI HII

YANGA YAZIDI KUIKAMIA SIMBA JUMAMOSI HII

Written By Bashir Nkoromo on Wednesday, December 18, 2013 | 12:06 PM


Kiungo mpya wa Yanga SC, Hassan Dilunga akimdhibiti mchezaji mwenzake mpya, Nizar Khalfan katika mazoezi leo asubuhi Uwanja wa Bora,Kijitonyama, Dar es Salaam. Yanga inajiandaa na mchezo maalum dhidi ya watani wao Simba SC, wa Nani Mtani Jembe utakaofanyika Jumamosi wiki hii Uwanja wa Taifa, Dar e Salaam. Simba SC wapo kambini Zanzibar nao wakijiandaa na mchezo huo unaoandaliwa na wadhamini wa klabu hizo, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). 
Kutoka kulia kipa Deo Munishi 'Dida', Nizar na Oscar Joshua
Kulia Abdallah Mguhi 'Messi' na kushoto Hamisi Thabit
Job Ibrahim akimiliki mpira pembeni ya Haruna Niyonzima
Kulia kipa Juma Kaseja na kushoto Ibrahim Job
Kushoto Hamisi Kiiza na kulia Job
Mduara wa dua

Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template