Headlines News :
Home » » SIMBA ILIPOTOTA KWA AZAM MJINI ZANZIBAR JANA

SIMBA ILIPOTOTA KWA AZAM MJINI ZANZIBAR JANA

Written By Bashir Nkoromo on Saturday, January 14, 2017 | 8:40 AM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akiwasalimia   wachezaji  wa Timu ya Simba   kabla mpambano wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi na Timu ya Azam jana katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akiwasalimia   wachezaji  wa Timu ya Azam   kabla mpambano wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi na Timu ya Azam jana katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na wachezaji  wa Timu ya Azam   kabla mpambano wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi na Timu ya Azam jana katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na waamuzi  kabla mpambano wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi na Timu ya Azam jana katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na wachezaji  wa Timu ya Simba  kabla mpambano wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi na Timu ya Azam jana katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja,
Mashabiki wa Simba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akiwavalisha nishani wachezaji wa Timu ya Simba  wakiwa washindi wa pili Kombe la Mapinduzi 2017 baada ya kumalizika mchezo wa Fainali a Timu ya Azam jana katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja, Azam walitoka kifua mbele kwa 1-0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabishi Kitita cha Shilingi za Kitanzania Millioni Tano Nahodha wa Timu ya Simba Jonas Mkude  baada ya mechi ya Fainali  ya Kombe la Mapinduzi 2017 kati ya  Azam na Simba ambapo Azam walitoka kifua mbele kwa  1-0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwavalisha nishani wachezaji wa Timu ya Azam   baada ya kumalizika mchezo wa Fainali ya Mapinduzi Cup  kati ya Azam na Simba na kutoka 1-0 katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja jana. PICHA ZOTE NA IKULU
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template