Home »
» YANGA YAANZA VIBAYA KAGAME CUP, YAPIGWA 2-0 NA ATLETICO
YANGA YAANZA VIBAYA KAGAME CUP, YAPIGWA 2-0 NA ATLETICO
Written By Bashir Nkoromo on Saturday, July 14, 2012 | 12:58 PM
Mchezaji wa timu ya Yanga, Juma Abdul, akichuana kuwania mpira na beki wa Atletico, Henry Mbazumutima, wakati wa mchezo wao wa fungua dimba ya michuano ya kombe la Kagame, uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Michuano hiyo inaandaliwa na Shirikisho la vyama vya mpira wa miguu Afrika Mashariki CECAFA. Katika mchezo huo Yanga imeanza vibaya michuano hiyo kwa kufungwa mabao 2-0 na Atletico
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !