Naibu waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga akikabidhi ngao ya hisani kwa kipa wa Simba, Juma Kaseja, baada ya timu hiyo kuitwaa ngao hiyo kwa kuifunga Azam FC mabao 3-2, katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Erasto Nyoni-Azam na Nassor Masoud-Simba wakipimana ubavu kuwania mpira wakati wa mechi hiyo
Mshambuliaji wa Simba Mrisho Ngassa akitafuta njia ya kumpita mchezaji wa Azam
Moja ya hekaheka kwenye lango la Azam FC
Home »
» SIMBA YAILAMBA AZAM 3-2 NGAO YA JAMII
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !