Wanamichezo wa Sheria Sports Club wakiwa kewnye maandano wakati wa sherehe za kufunga michezo ya SHIMIWI Mkoani Morogoro jumamosi tarehe 6 Oktoba, 2012.
Mshindi wa tatu wa mchezo wa bao kwa wanawake Bibi Salome Sumbi kutoka Sheria Sports club akipokea kombe la ushindi huo kutoka kwa mgeni rasmi.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Moses Chitama (aliyeshika kombe) akifurahi na wanamichezo wa Sheria Sports Club mara baada ya mshindi wa tatu wa mchezo wa bao kwa wanawake Bibi Salome Sumbi (wa kwanza kushoto kwa Bw. Chitama) kukabidhiwa kombe hilo.
Home »
» SHERIA SPORTS CLUB YASHINDA MCHEZO WA BAO KWENYE SHIMIWI
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !