Home »
» YANGA NA SIMBA KUANZA KUNYUKANA SAA MOJA JIONI HII UWANJA WA TAIFA
YANGA NA SIMBA KUANZA KUNYUKANA SAA MOJA JIONI HII UWANJA WA TAIFA
Written By Bashir Nkoromo on Wednesday, October 3, 2012 | 5:10 AM
Timu za Yanga na Simba zote za jijini Dar es salaam, jioni hii zitaumana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, huku kila moja ikitamba kuibuka na ushindi katika mechi hiyo ambayo ni ya awali kwa timu hizo kukutana katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Daily Nkoromo Blog inazitakia timu hizo kila moja nushindi mwema
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !