Headlines News :
Home » » YANGA YANG'AA DAR, SIMBA HOI MORO LEO

YANGA YANG'AA DAR, SIMBA HOI MORO LEO

Written By Bashir Nkoromo on Sunday, November 4, 2012 | 9:21 AM

Katika mechi zilizopigwa kwenye Viwanja Tofauti, zikihusisha timu za Yanga na Simba, zimemalizika huku Yanga wakichekelea baada ya kupata mabao 2-0 dhidi ya  Azam katika mechi ya timu hizo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Lakini kwa upande wa Simba iliyokuwa ikinyukana na Mtibwa imesababisha mashabiki wake kunyong'onyea baada ya kupata kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Wakata miwa wa Mtibwa al maarufu Mtibwa Sugar, katika mechi ya timu hizo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template