Headlines News :
Home » » SWAHILI TV YALONGA NA MENEJA WA JUSTIN BIEBER "JUSTIN KUKAA KIFUA WAZI"

SWAHILI TV YALONGA NA MENEJA WA JUSTIN BIEBER "JUSTIN KUKAA KIFUA WAZI"

Written By Bashir Nkoromo on Friday, July 19, 2013 | 9:50 AM


Katika pita pita zetu mitaa ya Connecticut, Marekani, Mwandishi wetu alikutana na picha hizi za Bieber akiwa Kifua wazi alafu amejitunisha ili kuonyesha jinsi jim inavyolipa.Mwana muziki huyu mdogo lakini maarufu amekuwa na tabia ya kuvua shati siku hizi hata akiwa klabu au mitaani kwani anasema anataka kinadada waone jinsi kifua chake kilivyo.

Katika kutafuta ukweli wa mambo ilikuweza kuhakikisha je ni kweli amesema hivyo kwa watu, Mwandishi wetu wa burudani bwana DMK alimpigia simu meneja wa Justin nakumuuliza lakini alikanusha nakusema bwana mdogo huyo amekuwa akikaa kifua wazi kwasababu summer hii joto ni kali sana na mwanamuziki huyo anashindwa kuvumilia, alipomwomba kuongea na Justin mwenyewe meneja huyo alimkatia simu.Tutaendelea kufatilia zaidi ili tuweze kupata ukweli je ni kwanini Justin Bieber  siku hizi anapenda kukaa kifua wazi? ama Je ni kwasababu anaenda Jimu sana au?....endelea kusoma Swahili TV blog na kupitia website yetu www.swahilitv.info
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template