Headlines News :
Home » » MKUTANO MKUU WA SIMBA WAFANYIKA DAR

MKUTANO MKUU WA SIMBA WAFANYIKA DAR

Written By Bashir Nkoromo on Saturday, July 20, 2013 | 1:27 AM



 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage akifafanua jambo wakati wa Mkutano Mkuu wa Simba wa kujadili maendeleo ya klabu hiyo ulioanza saa nne kamili na kumalizika saa tano kamili katika Bwalo la Maofisa wa Polisi jijini Dar es Salaam leo, ambapo wanachama zaidi ya 700 walihudhuria mkutano huo.
Mwanachama wa Simba kutoka Iringa akiuliza swali katika mkutano huo.
 Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali (kushoto) akifuatilia mkutano huo.

 Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano huo.



Wanachama wa Simba wakimpongeza Mwenyekiti wao, Ismail Aden Rage mara baada ya kumalizika kwa mkutano huo. 
 Wanachama wa Simba wakionyesha furaja yao kwa Mwenyekiti wao baada ya mkutano kumalizika.
 Tuko pamoja Mwenyekiti.....
 Hongera sana.....
 Kila mwanachama alikuwa na shauku ya kutaka kusalimiana na Rage baada ya kufunga rasmi Mkutano Mkuu wa Simba leo asubuhi.

 Asanteni sana, hapa Rage anaonekana kama akisema.
Rage akisamiliana na Mwenyekiti wa zamani wa Simba Hassan Dalali baada ya kumalizika kwa mkutano.
 Rage akitoka katika ukumbi wa mkutano.
Wanachama wa Simba wakimpongeza Rage baada ya kufunga rasmi mkutano Mkuu wa kujadili maendeleo ya klabu hiyo. 

Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template