Headlines News :
Home » » YANGA YATOSHANA NGUVU NA URA YA UGANDA

YANGA YATOSHANA NGUVU NA URA YA UGANDA

Written By Bashir Nkoromo on Sunday, July 21, 2013 | 9:51 AM

 Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao la kuzawazisha dhidhi ya URA ya Uganda, lililofungwa na Jerson Tegete katika dakika ya 90 ya mchezo na kufanya matokeo kuwa 2-2. Mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki umefanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa URA ya Uganda, Lutimba Yayo akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki wa Yanga, Ibrahim Job na Rajabu Zahir  katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Beki wa URA ya Uganda, Lutimba Yayo akimiliki mpira huku akizongwa na mshambuliaji wa Yanga, Jerson Tegete katika mchezo wa kimataiafa wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2. 
Wachezaji wa URA wakishangilia bao la pili la timu hiyo.
 Heka heka.

Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template