Headlines News :
Home » » DIAMOND MUSICA, FIVE STAR MODERN TAARAB ZILIVYOKAMUA DAR LIVE

DIAMOND MUSICA, FIVE STAR MODERN TAARAB ZILIVYOKAMUA DAR LIVE

Written By Bashir Nkoromo on Sunday, August 18, 2013 | 6:44 AM

Wanamuziki wa Diamond Musica wakiwajibika jukwaani.
Wanamuziki wa Five Star wakiwajibika stejini.
Didi Namba wa Diamond Musica akiimba.
Wanenguaji wa Diamond wakionyesha umahiri wao wa kunengua.
Ally J wa Five Star akifanya mambo stejini.
Baadhi ya mashabiki wakiserebuka.
Mashabiki wakilishana keki kwa upendo.
Husna Semhando akionyesha umahiri wake wa kunengua.
BENDI ya Diamond Musica na Five Star Modern Taarab usiku wa kuamkia leo ziliwapagawisha vilivyo mashabiki waliohudhuria katika onyesho la pamoja lililofanyika ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live, uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam. Pichani juu ni baadhi ya matukio katika shoo hiyo.
(PICHA ZOTE ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS / GPL)
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template