Headlines News :
Home » » RADI 5 YA ARUSHA YAPATA UGENI WA REDD'S MISS TANZANIA

RADI 5 YA ARUSHA YAPATA UGENI WA REDD'S MISS TANZANIA

Written By Bashir Nkoromo on Saturday, September 7, 2013 | 10:45 PM

Mtangazaji wa kipindi cha burudani cha Funika Base kutoka Radio 5 ya Mjini Arusha , Julius Kamafa (kushoto) akifanya mahojiano na Washiriki wa Shindano la Redd’s Miss Tanzania 2013 katika studio za redio hiyo jana.
 Baadhi ya warembo wakijieleza Live Redio 5 hii leo walipotebelea kituo hicho.

Meneja Biashara wa TAN MEDIA, Angela Maina akizungumza na warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2013 wakati warembo hao walipotembelea Kituo cha Redio cha Radio 5 cha mjini  Arusha leo kujionea shughuli mbalimbali na kufanya mahojiano maalum. Warembo wa Redd’s Miss Tanzania wapo mkoani Arusha kwa ziara ya kimafunzo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa TAN MEDIA wakisikiliza kwa makini mkutano huo baina ya warembo na Viongozi wa TAN MEDIA.
Meneja Biashara wa TAN MEDIA, Angela Maina akizungumza na warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2013 wakati warembo hao walipotembelea Kituo cha Redio cha Radio 5 cha mjini  Arusha jana kujionea shughuli mbalimbali na kufanya mahojiano maalum.
 Warembo wakipiga picha za Pozi
 Walimbwende na Viongozi wa TAN MEDIA na watangazaji wa Radio 5 walipiga picha ya kumbukumbu.
Warembo wakiondoka Radio 5
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template