Headlines News :
Home » » TAIFA STARS KUREJEA NCHINI LEO MCHANA KUTOKA NAMIBIA

TAIFA STARS KUREJEA NCHINI LEO MCHANA KUTOKA NAMIBIA

Written By Bashir Nkoromo on Thursday, March 6, 2014 | 9:58 PM

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kurejea nchini leo (Machi 7 mwaka huu) saa 12.45 jioni kutoka Windhoek, Namibia kwenye mechi ya kirafiki ya kalenda ya FIFA.

Taifa Stars ambayo katika mechi hiyo dhidi ya Namibia (Brave Warriors) ilitoka sare ya bao 1-1 itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 8.15 mchana kwa ndege ya South Africa Airways.

Timu inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager baada ya kuwasili itakwenda hoteli ya Accomondia kwa ajili ya chakula cha mchana na baadaye kuvunja rasmi kambi yake.

Boniface Wambura Mgoyo
Media and Communications Officer

Tanzania Football Federation (TFF)

Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template