Headlines News :
Home » » TAMASHA LA FIESTA LILIVYORINDIMA DAR ES SALAAM

TAMASHA LA FIESTA LILIVYORINDIMA DAR ES SALAAM

Written By Bashir Nkoromo on Monday, November 7, 2016 | 6:17 AM

MSANII wa muziki wa bongo fleva, Benard Paul ‘Ben Pol’ (katikati) akiimba katika tamasha hilo.

MSANII wa muziki wa bongo fleva, Chege (kushoto) akilishambulia jukwaa kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika juzi.

MSANII wa muziki kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade , akiimba sambamba na mashabiki wake katika tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika juzi kwenye viwanja vya Leaders Dar es Salaam.

NYOTA wa muziki wa bongo fleva nchini, Ali Kiba akilishambulia jukwaa katika tamasha la Tigo Fiesta

MSANII wa muziki kutoka nchini Nigeria, Tekno, akiimba sambamba na mashabiki wake katika tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika juzi kwenye viwanja vya Leaders Dar es Salaam.

UMATI wa mashabiki wa burudani wakifuatilia tamasha hilo.


Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template