Jackob Massawe wa African Lyon (kushoto) akijaribu kumthibiti Amir Maftah wa Simba wakati akiondoka na mpira wakati wa mechi hiyo.
Mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngassa (16) akipongezwa na wenzake baada ya kupachika kimiani mwa Lyon bao la pili wakati wa mechi hiyo.
Shabiki wa Simba akishangilia bao la pili Baadhi ya wachezaji wa African Lyon waliokuwa benchi wakiwa katika mshangao baada ya timu yao kutundikwa mabao 3-0 na Simba
Kikosi cha Simba kilichoinyuka LyonKikosi cha African Lyon kilichonyukwa na Simba leo (Picha zote na Bashir Nkoromo)
shukrani kws habari
ReplyDelete