Home »
» BODI YA FILAMU TANZANIA
BODI YA FILAMU TANZANIA
Written By Bashir Nkoromo on Wednesday, October 31, 2012 | 7:22 AM
Meneja Mkuu wa kampuni ya usambazaji filamu Steps Entertainment Bw.Jairaj Almoradan akifafanua jambo wakati wa mkutano na Sekretarieti ya Bodi ya Filamu Tanzania,wakati wa makubalianoya Utekelezaji wa sheria ya Filamu na Michezo ya kuigiza ya mwaka 1976 kati ya wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo na Makampuni mbalimbali ya Filamu nchini.wa pili kulia ni Afisa uhusiano wa Steps Entertainment Bw. Cloude Ngalaba,wa tatu kushoto ni Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania Bi.Joyce Fissoo ,wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa Sekretarieti ya bodi ya Filamu Tanzania.Bi. Angela Ngowi. Mazungumzo yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Bodi ya Filamu jana jijini Dar es salaam.
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !