Headlines News :
Home » » MASHALI, MIYEYUSHO WAJIANDAA KUWAKABILI WAKENYA KATIKA USIKU WA MATUMAINI

MASHALI, MIYEYUSHO WAJIANDAA KUWAKABILI WAKENYA KATIKA USIKU WA MATUMAINI

Written By Bashir Nkoromo on Saturday, June 22, 2013 | 1:52 AM

Francis Miyeyusho (kulia) akimtupia konde Thomas Mashali wakati wa mazoezi leo.
Mashali (kushoto) akikwepa konde la Miyeyusho.
Miyeyusho akijifua kumkabili bondia Shadrack Machanje kutoka Kenya.
Mashali akipasha tayari kuzipiga na bondia Patrick Amote wa Kenya.
Mabondia hao katika pozi la kuzipiga wakati wa mazoezi ya leo.
Mabondia wa hapa nchini Thomas Mashali na Francis Miyeyusho leo wamefanya mazoezi ya pamoja katika gym iliyopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Mabondia hao wanajiandaa kuwakabili wenzao kutoka Kenya ambao ni Patrick Amote na Shadrack Muchenje kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Julai 7 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar.
(PICHA NA MUSA MATEJA / GPL)
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template