Headlines News :
Home » » SKYLIGHT BAND YAZIDI KUKONGA NYOYO ZA MASHABIKI NDANI YA KIOTA CHA THAI VILLAGE

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUKONGA NYOYO ZA MASHABIKI NDANI YA KIOTA CHA THAI VILLAGE

Written By Bashir Nkoromo on Saturday, February 8, 2014 | 1:18 AM

DSC_0945

Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na Joniko Flower wakitoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0849
Kikosi kazi cha Skylight Band kikisebeneka jukwaani.
DSC_0856
Hashim Donode wa Skylight Band (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi wa bendi hiyo ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Kulia ni Winfrida Richard na kushoto ni Digna Mbepera.
DSC_0909
Pichani juu na chini ni mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga kwenye dancing floor ndani ya ukumbi wa Thai Village Masako jijini Dar.
DSC_0913 DSC_0948
Mashabiki wa Skylight Band wakicheza miondoko ya "Yachuma chuma" kwenye show iliyobamba vilivyo ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0951
Muguu wa kushoto mbele, wa kulia nyuma......mi nataka mukanda yachuma chuma weeeee.....!!!!
DSC_0977
Aneth Kusbaha AK47 na Winfrida Richard wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0917
Katika kupata ladha nzuri ya muziki wa Skylight Band vijana hawa ndio wanahusika asilimia 100. Pichani juu ni Moses na chini ni Athumani pamoja na Idrissa wakinya yao.
DSC_0922DSC_0924
Umati wa wadau wa Skylight Band wakiburudika na muziki wa Bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0970
Digna Mbepera akifanya yake jukwaani.
DSC_0954
Mambo ya pwani yalihusika pia....Chezea mduara weweeee...!!!
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template