Headlines News :
Home » » YANGA YAINYUKA KOMORIZINE SPORTS SABA BILA

YANGA YAINYUKA KOMORIZINE SPORTS SABA BILA

Written By Bashir Nkoromo on Saturday, February 8, 2014 | 9:30 AM

 Kiungo wa Komorozine Sports, Moidjie Ali akija akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga, David Luhenda katika mchezo wa Ligi ya klabu Bingwa Afrika uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imelamba timu hiyo 7-0
 Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa akimtoka mchezaji wa timu ya Komorozine Sports Attouumane Omar wakati wamechi hiyo.
Wacheaji wa Yanga wakishangilia baada ya kuifunga timu ya Komorozine Sports katika mchezo wa Ligi ya Klabu Bingwa Afrika uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Total Pageviews

Comments

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. theNkoromo SPORTS - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template